Sura: AL-BAQARAH 

Aya : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim[1]


1- - Allah ndiye ajuwaye zaidi madhumuni ya herufi hizi.


Sura: AL-IMRAN 

Aya : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim[1]


1- - Allah ndiye ajuwaye zaidi madhumuni ya herufi hizi.


Sura: AL-AARAAF 

Aya : 1

الٓمٓصٓ

Allah ndiye Mjuzi zaidi wa alichokikusudia katika herufi hizi



Sura: YUNUS 

Aya : 1

الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡحَكِيمِ

Alif laam raa. Hizo ni Aya za kitabu chenye hekima nyingi



Sura: HUUD 

Aya : 1

الٓرۚ كِتَٰبٌ أُحۡكِمَتۡ ءَايَٰتُهُۥ ثُمَّ فُصِّلَتۡ مِن لَّدُنۡ حَكِيمٍ خَبِيرٍ

Alif, laam, raa (hizi ni herufi za mkato na Allah ndiye anayejua maana yake). Hiki ni kitabu (ambacho) zimetengenezwa vyema Aya zake kisha zimefafanuliwa kutoka kwa aliye na Hekima, Mwenye habari nyingi



Sura: YUSUF 

Aya : 1

الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡمُبِينِ

Alif Laam Raa[1]. Hizo ni Aya za Kitabu kinachobainisha


1- - Allah ndiye ajuaye zaidi maana ya herufi mkato hizi.


Sura: AR-RA’D 

Aya : 1

الٓمٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِۗ وَٱلَّذِيٓ أُنزِلَ إِلَيۡكَ مِن رَّبِّكَ ٱلۡحَقُّ وَلَٰكِنَّ أَكۡثَرَ ٱلنَّاسِ لَا يُؤۡمِنُونَ

Alif Laam Miim Raa[1]. Hizo ni Aya za Kitabu. Na (hii Qur’an ni wahyi) ambayo umeteremshiwa kutoka kwa Mola wako Mlezi ni haki lakini watu wengi hawaamini


1- - Allah pekee ndiye anayejua maana ya herufi hizi mkato.


Sura: IBRAHIM 

Aya : 1

الٓرۚ كِتَٰبٌ أَنزَلۡنَٰهُ إِلَيۡكَ لِتُخۡرِجَ ٱلنَّاسَ مِنَ ٱلظُّلُمَٰتِ إِلَى ٱلنُّورِ بِإِذۡنِ رَبِّهِمۡ إِلَىٰ صِرَٰطِ ٱلۡعَزِيزِ ٱلۡحَمِيدِ

Alif Lam Raa[1]. Hiki ni Kitabu tulichokiteremsha kwako ili kwacho uwatowe watu kwenye giza uwapeleke kwenye muangaza, kwa idhini ya Mola wao Mlezi, uwafikishe kwenye Njia ya Mwenye nguvu, Msifiwa


1- - Allah ndiye ajuaye maana halisi ya herufi hizi.


Sura: AL-HIJRI 

Aya : 1

الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ وَقُرۡءَانٖ مُّبِينٖ

Alif Lam Raa. Hizi ni Aya za Kitabu na Qur’ani inayobainisha



Sura: MARYAM 

Aya : 1

كٓهيعٓصٓ

Kaaf Haa Yaa A’yn Swaad



Sura: TWAHA 

Aya : 1

طه

Twaahaa!



Sura: ASH-SHUARAA 

Aya : 1

طسٓمٓ

Twaa Siin Miim



Sura: ANNAMLI 

Aya : 1

طسٓۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡقُرۡءَانِ وَكِتَابٖ مُّبِينٍ

Twaa Siin. Hizo ni Aya za Qur’ani na Kitabu kinacho bainisha



Sura: AL-QASWAS 

Aya : 1

طسٓمٓ

Twaa Siin Miim



Sura: AL-ANKABUUT 

Aya : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



Sura: ARRUUM 

Aya : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



Sura: LUQMAAN 

Aya : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



Sura: ASSAJDAH 

Aya : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



Sura: YAASIIN 

Aya : 1

يسٓ

Yaasiin



Sura: SWAAD 

Aya : 1

صٓۚ وَٱلۡقُرۡءَانِ ذِي ٱلذِّكۡرِ

Swaad. Nina apa kwa Qur’ani yenye mawaidha



Sura: GHAAFIR 

Aya : 1

حمٓ

Haamiim



Sura: FUSSWILAT 

Aya : 1

حمٓ

Haamiim



Sura: ASH-SHUURAA 

Aya : 1

حمٓ

Haamiim



Sura: ASH-SHUURAA 

Aya : 2

عٓسٓقٓ

A’yn, Siin, Qaaf



Sura: AZZUKHRUF 

Aya : 1

حمٓ

Haamiim



Sura: ADDUKHAAN 

Aya : 1

حمٓ

Haamiim



Sura: AL-JAATHIYA 

Aya : 1

حمٓ

Haamiim



Sura: AL-AHQAAF 

Aya : 1

حمٓ

Haamiim



Sura: QAAF 

Aya : 1

قٓۚ وَٱلۡقُرۡءَانِ ٱلۡمَجِيدِ

Qaaf. Nina apa kwa Qur’ani Tukufu



Sura: AL-QALAM 

Aya : 1

نٓۚ وَٱلۡقَلَمِ وَمَا يَسۡطُرُونَ

Nuun. Nina apa kwa kalamu na yale wayoyaandika