Wale wanaojiepusha na madhambi makubwa na machafu isipokuwa makosa madogo-madogo. Hakika Bwana wako ni Mwingi wa msamaha. Yeye Anakujueni vyema, tangu Alipokuanzisheni kutoka katika ardhi, na pale mlipokuwa mimba changa matumboni mwa mama zenu. Basi msizitakase nafsi zenu. Yeye Anamjua zaidi aliyekuwa na taqwa
Rahoto game da kuskure
Kwafi
An kammala
Kuskure
Tarayya :
Sura:
ARRAHMAAN
Aya : 14
خَلَقَ ٱلۡإِنسَٰنَ مِن صَلۡصَٰلٖ كَٱلۡفَخَّارِ
Amemuumba mwanadamu kutokana na udongo utowao sauti kama vyombo vya udongo vilivyochomwa
Rahoto game da kuskure
Kwafi
An kammala
Kuskure
Tarayya :
Sura:
AL-WAAQIA’H
Aya : 57
نَحۡنُ خَلَقۡنَٰكُمۡ فَلَوۡلَا تُصَدِّقُونَ
Sisi Tumekuumbeni, basi kwa nini hamsadikishi hilo?
Rahoto game da kuskure
Kwafi
An kammala
Kuskure
Tarayya :
Sura:
AL-WAAQIA’H
Aya : 58
أَفَرَءَيۡتُم مَّا تُمۡنُونَ
Je, mnaona mbegu ya uzazi mnayo imwagia kwa nguvu?
Hakika, sisi tumemuumba mwanadamu kutokana na mbegu ya uhai (Manii) iliyochanganyika ili tumfanyie mtihani. Kwa hivyo tumemfanya ni mwenye kusikia, mwenye kuona
Rahoto game da kuskure
Kwafi
An kammala
Kuskure
Tarayya :
Sura:
ALMURSALAAT
Aya : 20
أَلَمۡ نَخۡلُقكُّم مِّن مَّآءٖ مَّهِينٖ
Kwani hatukukuumbeni kwa maji dhalili (manii)?
Rahoto game da kuskure
Kwafi
An kammala
Kuskure
Tarayya :
Sura:
ALMURSALAAT
Aya : 21
فَجَعَلۡنَٰهُ فِي قَرَارٖ مَّكِينٍ
Kisha Tukayaweka katika mahali pa kutulia, madhubuti?
Rahoto game da kuskure
Kwafi
An kammala
Kuskure
Tarayya :
Sura:
ALMURSALAAT
Aya : 22
إِلَىٰ قَدَرٖ مَّعۡلُومٖ
Mpaka muda maalumu?
Rahoto game da kuskure
Kwafi
An kammala
Kuskure
Tarayya :
Sura:
ALMURSALAAT
Aya : 23
فَقَدَرۡنَا فَنِعۡمَ ٱلۡقَٰدِرُونَ
Tukakadiria na Sisi ni wazuri walioje wa kukadiria
Rahoto game da kuskure
Kwafi
An kammala
Kuskure
Tarayya :
Sura:
A’BASA
Aya : 18
مِنۡ أَيِّ شَيۡءٍ خَلَقَهُۥ
Hivi hakumbuki! Kwa kitu gani amemuumba?
Rahoto game da kuskure
Kwafi
An kammala
Kuskure
Tarayya :
Sura:
A’BASA
Aya : 19
مِن نُّطۡفَةٍ خَلَقَهُۥ فَقَدَّرَهُۥ
Kutokana na tone la manii, Amemuumba, Akamkadiria, [Akamuwezesha]
Rahoto game da kuskure
Kwafi
An kammala
Kuskure
Tarayya :
Sura:
ATTAARIQ
Aya : 5
فَلۡيَنظُرِ ٱلۡإِنسَٰنُ مِمَّ خُلِقَ
Hebu na ajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?