Sura: A’BASA

Aya : 35

وَأُمِّهِۦ وَأَبِيهِ

Na mama yake na baba yake



Sura: A’BASA

Aya : 36

وَصَٰحِبَتِهِۦ وَبَنِيهِ

Na mkewe na wanae



Sura: A’BASA

Aya : 37

لِكُلِّ ٱمۡرِيٕٖ مِّنۡهُمۡ يَوۡمَئِذٖ شَأۡنٞ يُغۡنِيهِ

(Kwasababu) Kila mtu miongoni mwao siku hiyo atakuwa na lake la kumtosha yeye mwenyewe



Sura: A’BASA

Aya : 38

وُجُوهٞ يَوۡمَئِذٖ مُّسۡفِرَةٞ

Siku hiyo ziko nyuso zitakazo nawiri



Sura: A’BASA

Aya : 39

ضَاحِكَةٞ مُّسۡتَبۡشِرَةٞ

Zikicheka na kufurahika, (na zitachangamka)



Sura: A’BASA

Aya : 40

وَوُجُوهٞ يَوۡمَئِذٍ عَلَيۡهَا غَبَرَةٞ

Na ziko nyuso siku hiyo zitakuwa na vumbi juu yake



Sura: A’BASA

Aya : 41

تَرۡهَقُهَا قَتَرَةٌ

Zitafunikwa na giza zito



Sura: A’BASA

Aya : 42

أُوْلَـٰٓئِكَ هُمُ ٱلۡكَفَرَةُ ٱلۡفَجَرَةُ

Hao ndio makafiri watenda maovu



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 1

إِذَا ٱلشَّمۡسُ كُوِّرَتۡ

Jua litakapokunjwa kunjwa (na kupotea mwanga wake)



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 2

وَإِذَا ٱلنُّجُومُ ٱنكَدَرَتۡ

Na nyota zitikapotiwa giza (zitakapozimwa nuru yake)



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 3

وَإِذَا ٱلۡجِبَالُ سُيِّرَتۡ

Na milima itakapoendeshwa (itakapondolewa)



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 4

وَإِذَا ٱلۡعِشَارُ عُطِّلَتۡ

Na ngamia wenye mimba pevu watakapotelekezwa



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 5

وَإِذَا ٱلۡوُحُوشُ حُشِرَتۡ

Na wanyama wa mwituni watakapokusanywa



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 6

وَإِذَا ٱلۡبِحَارُ سُجِّرَتۡ

Na bahari zitakapowashwa moto



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 7

وَإِذَا ٱلنُّفُوسُ زُوِّجَتۡ

Na roho zitakapounganishwa na viwiliwili vyao



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 8

وَإِذَا ٱلۡمَوۡءُۥدَةُ سُئِلَتۡ

Na mtoto wa kike aliyezikwa akiwa hai atakapoulizwa



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 9

بِأَيِّ ذَنۢبٖ قُتِلَتۡ

Ameuawa kosa gani?



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 10

وَإِذَا ٱلصُّحُفُ نُشِرَتۡ

Na sahifa (kurasa) za kurekodi (matendo ya waja) zitakapo kunjuliwa, [wakati wa kuhesabiwa watu]



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 11

وَإِذَا ٱلسَّمَآءُ كُشِطَتۡ

Na mbingu itapo ondoshwa pahala pake



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 12

وَإِذَا ٱلۡجَحِيمُ سُعِّرَتۡ

Na Jahannamu itakapo chochewa



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 13

وَإِذَا ٱلۡجَنَّةُ أُزۡلِفَتۡ

Na Pepo ikasogezwa karibu



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 14

عَلِمَتۡ نَفۡسٞ مَّآ أَحۡضَرَتۡ

Kila nafsi itajua ilicho kihudhurisha



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 15

فَلَآ أُقۡسِمُ بِٱلۡخُنَّسِ

Basi Naapa kwa sayari zinapo rejea nyuma, zinazotoweka (mchana na zinadhihirika usiku)



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 16

ٱلۡجَوَارِ ٱلۡكُنَّسِ

Zinazotembea na kujificha



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 17

وَٱلَّيۡلِ إِذَا عَسۡعَسَ

Na naapa kwa usiku unapo pungua giza lake



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 18

وَٱلصُّبۡحِ إِذَا تَنَفَّسَ

Na Naapa kwa asubuhi inapo pambazuka



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 19

إِنَّهُۥ لَقَوۡلُ رَسُولٖ كَرِيمٖ

Hakika hii (Qurani) bila shaka ni kauli (ameifikisha) Mjumbe mtukufu (Jibrili)



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 20

ذِي قُوَّةٍ عِندَ ذِي ٱلۡعَرۡشِ مَكِينٖ

Mwenye nguvu na cheo kitukufu kwa (Allah) Anayemiliki ‘Arsh. [Kiti cha Enzi]



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 21

مُّطَاعٖ ثَمَّ أَمِينٖ

Anayetiiwa (na Malaika), mwaminifu huko (mbinguni)



Sura: ATTAK-WIIR 

Aya : 22

وَمَا صَاحِبُكُم بِمَجۡنُونٖ

Na wala huyu mwenzenu hana wazimu