Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 45

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 46

وَلِمَنۡ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِۦ جَنَّتَانِ

Na kwa mwenye kukhofu kusi-mamishwa mbele ya Mola wake atapata bustani mbili



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 47

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 48

ذَوَاتَآ أَفۡنَانٖ

Zenye miti yenye matawi



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 49

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 50

فِيهِمَا عَيۡنَانِ تَجۡرِيَانِ

Mna humo chemchemu mbili zinazopita



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 51

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 52

فِيهِمَا مِن كُلِّ فَٰكِهَةٖ زَوۡجَانِ

Mna humo kila matunda ya aina mbili mbili



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 53

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 54

مُتَّكِـِٔينَ عَلَىٰ فُرُشِۭ بَطَآئِنُهَا مِنۡ إِسۡتَبۡرَقٖۚ وَجَنَى ٱلۡجَنَّتَيۡنِ دَانٖ

Hali yakuwa wakiegemea kwenye matandiko mazito yaliyotengenezwa ndani yake kwa hariri nyepesi na matunda ya bustani hizo yapo karibu



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 55

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 56

فِيهِنَّ قَٰصِرَٰتُ ٱلطَّرۡفِ لَمۡ يَطۡمِثۡهُنَّ إِنسٞ قَبۡلَهُمۡ وَلَا جَآنّٞ

Mna humo wanawake wenye staha wanaoinamisha macho, hawajaguswa na Mtu kabla yao wala Jini



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 57

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 58

كَأَنَّهُنَّ ٱلۡيَاقُوتُ وَٱلۡمَرۡجَانُ

Kana kwamba hao wanawake ni yakuti na marijani



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 59

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 60

هَلۡ جَزَآءُ ٱلۡإِحۡسَٰنِ إِلَّا ٱلۡإِحۡسَٰنُ

Haikua malipo ya wema ispokua wema



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 61

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 62

وَمِن دُونِهِمَا جَنَّتَانِ

Na zaidi ya hizo mbili, ziko bustani mbili zingine



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 63

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 64

مُدۡهَآمَّتَانِ

Za rangi ya kijani iliyokoza



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 65

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 66

فِيهِمَا عَيۡنَانِ نَضَّاخَتَانِ

Mna humo chemchemu mbili zenye kububujika kwa nguvu mfululizo



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 67

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 68

فِيهِمَا فَٰكِهَةٞ وَنَخۡلٞ وَرُمَّانٞ

Mna humo matunda na mitende na makomamanga



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 69

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 70

فِيهِنَّ خَيۡرَٰتٌ حِسَانٞ

Mna humo wanawake wema wazuri



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 71

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 72

حُورٞ مَّقۡصُورَٰتٞ فِي ٱلۡخِيَامِ

weupe wakiwa na macho mapana waliotawishwa kwenye mahema



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 73

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sura: ARRAHMAAN 

Aya : 74

لَمۡ يَطۡمِثۡهُنَّ إِنسٞ قَبۡلَهُمۡ وَلَا جَآنّٞ

hawajaguswa na Mtu kabla yao wala Jini